KISWAHILISWAHILI

III: Afrika Kuanzia Karne ya Saba Hadi ya Kumi na Moja

Book information

Publisher
TUKI, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam / UNESCO
Year
1999
ISBN
9976911327, 9789976911329
Language
kiswahiliswahili
Format
PDF
Filesize
17 MB (17475342 bytes)
Series
Historia Kuu ya Afrika, Juzuu Lililofupishwa
Volume
3
Pages
453\453
Topic
History
Time added
2019-08-31 14:08:02

Description

Kipindi kinachojadiliwa katika Juzuu la III kimezingatia uhamiaji wa aina mbili ambao ulikuwa na umuhimu mkubwa na wa kudumu kwenye historia ya Afrika. Athari ya Uislamu ilikuwa inaongezeka upande wa kaskazini na magharibi; ilikuwa ikiingiliana na utamaduni asilia wa Kiafrika. Upande wa kusini kulikuwa na upanukaji wa WaBantu. Kitabu hiki kwanza kinaweka Afrika katika muktadha wa historia ya dunia mwanzoni mwa karne ya saba, kabla ya kuchambua athari za upenyaji wa Kiislamu, kuendelea kwa upanukaji wa watu wanaozungumza Kibantu, na ukuaji wa ustaarabu kwenye kanda za Kisudani za Afrika Magharibi. Sura zinazojadili kwa undani zinafuata zikizungumzia nasaba mfululizo za Kiislamu za Afrika Magharibi na mawasiliano mapana ya nasaba hizo na sehemu zingine, Unubi ya Wakristo, staarabu za savana, maeneo ya misitu na Pwani ya Afrika Magharibi, Pembe ya Afrika, Pwani ya Afrika Mashariki na bara, Afrika ya Kati, Kusini mwa Afrika, na maendeleo ya ndani ya Madagaska pamoja na mawasilino ya Kimataifa. Sura tatu za hitimisho zinafuatilia utawanyikaji wa Waafrika huko Asia, zinachunguza uhusiano wa kimataifa na usambaaji wa teknolojia na mawazo ndani ya Afrika, na kupima athari ya jumla ya kipindi hicho kwa historia ya Afrika.

Similar books