Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili
Book information
Description
"Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili kimeandikwa kwa lengo la kumfafanulia mwanafunzi tanzu na vipera vya fasihi simulizi kwa njia angavu na nyepesi. Muhitaji yote ya silabasi ya shule za upili yameshughulikiwu kwa kina. Mada zimejadiliwa kwa lugha rahisi na mifano anuwai ya uchanganuzi kutolewa. Yapo maswali yaliyotolewa mwishoni mwa mada. Maswali haya yanatahini stadi zote za ufumbuzi. Mwishoni mwa kitabu kumetolewa majibu ya baadhi ya maswali ya mazoezi."
Similar books
"Mau Mau" kizuizini: kisa cha miaka saba ndani ya kampi za kuhamishwa katika Kenya
1965 · PDF
Hali ya Haki za Watoto Tanzania: Taarifa ya Utafiti Juu ya Hali Halisi ya Kisheria na Kiutendaji
Koja La Lugha
1969 · PDF
Kamusi ya Watoto
2011 · PDF
Biashara ya Utumwa katika Afrika ya Magharibi
1974 · PDF
Kumbukumbu za Vita vya Maji Maji: Sehemu ya Kwanza, 1905-1907
1967 · PDF
Wanawake wa TANU. Jinsia na Utamaduni katika Kujenga Uzalendo Tanganyika: 1955-1965
2005 · PDF
Kiswahili na Utaifa Nchini Kenya
2012 · PDF