Harakati ya Kitabaka Katika Afrika
Book information
Description
"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
Similar books
"Mau Mau" kizuizini: kisa cha miaka saba ndani ya kampi za kuhamishwa katika Kenya
1965 · PDF
Hali ya Haki za Watoto Tanzania: Taarifa ya Utafiti Juu ya Hali Halisi ya Kisheria na Kiutendaji
Koja La Lugha
1969 · PDF
Kamusi ya Watoto
2011 · PDF
Biashara ya Utumwa katika Afrika ya Magharibi
1974 · PDF
Kumbukumbu za Vita vya Maji Maji: Sehemu ya Kwanza, 1905-1907
1967 · PDF
Wanawake wa TANU. Jinsia na Utamaduni katika Kujenga Uzalendo Tanganyika: 1955-1965
2005 · PDF
Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili
2011 · PDF