Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary
Book information
Description
Publisher: Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Publication date: 2001 Number of pages: 349Kamusi hii ya Kiswahili-Kiingereza ina historia ndefu. Wazo la kutunga kamusi hii ilianzishwa mwaka 1964 na Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili (ambacho kuanzia mwaka 1972 kilijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili). Wazo hili lilibuniwa wakati wa enzi ya Profesa Wilfred H.Whitely, ambaye wakati huo alikuwa ndiye Mkurugenzi wa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili, ikiwa ni miaka 25 baada ya kuchapishwa kwa kamusi ya Johnson ijulikanayo kama Standard Swahili-English Dictionary (1939). Kazi ya utunzi wa kamusi mpya ilianza baada ya shirika lijulikanalo kama Calouste Gulbenkian Foundation kutoa msaada wa pesa kwa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 1964 hadi Octoba 1967 ili kukiwezesha chuo kumwajiri mchunguzi atakayeweza kuifanya kazi hiyo.
Similar books
Euskara Swahili - Swahili Euskara Hiztegi txikia
A handbook of the Swahili language as spoken at Zanzibar
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 10. Mtoto umleavyo
RAR
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 09. Asiyekia la Mkuu Huvunyika Guu
RAR
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 08. Ibilisi wa mtu ni mtu
RAR
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 07. Umthaniaye ndiye kumbe siyo
RAR
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 05. Mtoto wa nyoka ni nyoka
RAR
African Proverbs Project. Kiswahili Proverbs. Lesson 04. Mchagua jembe
RAR